-
Waroma 3:8Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
8 Na kwa nini si kusema, kama vile twashtakiwa isivyo kweli na kama vile watu fulani hutaarifu kwamba sisi husema: “Acheni tufanye mambo mabaya ili mambo mema yapate kuja”? Hukumu dhidi ya watu hao inapatana na haki.
-