23 Si hilo tu, bali sisi wenyewe pia tulio na matunda ya kwanza, yaani, ile roho, ndiyo, sisi wenyewe tunaugua ndani yetu wenyewe,+ huku tukingojea kwa hamu kufanywa kuwa wana,+ kuachiliwa huru kutoka kwenye miili yetu kupitia fidia.
23 Si hilo tu, bali sisi wenyewe pia tulio na matunda ya kwanza,+ yaani, ile roho, ndiyo, sisi wenyewe tunaugua+ ndani yetu wenyewe, huku tukingojea kwa bidii kufanywa kuwa wana,+ kuachiliwa huru kutoka katika miili yetu kwa njia ya fidia.