22 Kwa hiyo, fikiria fadhili+ na ukali wa Mungu. Kuna ukali kuwaelekea wale walioanguka,+ lakini kukuelekea wewe kuna fadhili za Mungu mradi tu ukae katika fadhili zake; la sivyo, wewe pia utakatwa.
22 Kwa hiyo, ona fadhili+ na ukali+ wa Mungu. Kuna ukali kuwaelekea wale walioanguka,+ lakini kuna fadhili za Mungu kukuelekea wewe, ila tu ukae+ katika fadhili zake; kama sivyo, wewe pia utakatwa.+