25 Kwa maana sitaki ninyi, akina ndugu, mkose kuijua siri hii takatifu,+ ili msiwe wenye hekima machoni penu wenyewe: Hisia za Israeli zimetiwa uzito kwa kiasi fulani mpaka idadi kamili ya watu wa mataifa itakapoingia,
25 Kwa maana sitaki ninyi, akina ndugu, mkose kuijua siri hii takatifu,+ kusudi msiwe wenye busara machoni penu wenyewe: kwamba, kwa sehemu, kumekuwa na kutiwa uzito kwa hisi+ za Israeli mpaka hesabu+ kamili ya watu wa mataifa iwe imeingia,+