26 na kwa njia hii Israeli wote+ wataokolewa. Kama ilivyoandikwa: “Mkombozi* atakuja kutoka Sayuni+ na kuondoa mazoea ya kutomwogopa Mungu kutoka katika Yakobo.
26 na kwa namna hii Israeli+ wote wataokolewa. Kama ilivyoandikwa: “Mkombozi atatoka katika Sayuni+ na kuondolea mbali mazoea ya kutomwogopa Mungu kutoka katika Yakobo.+