6 Yule anayeishika siku huishika kwa ajili ya Yehova.* Pia, yule anayekula, anakula kwa ajili ya Yehova,* kwa maana yeye humshukuru Mungu;+ na yule asiyekula, hali chakula kwa ajili ya Yehova,* na bado yeye humshukuru Mungu.+
6 Yeye anayeishika siku huishika kwa ajili ya Yehova. Pia, yeye anayekula, anakula kwa ajili ya Yehova,+ kwa maana yeye humshukuru Mungu;+ na yeye asiyekula hali chakula kwa ajili ya Yehova,+ na bado yeye humshukuru Mungu.+