10 Sasa ninawahimiza ninyi, akina ndugu, kupitia jina la Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba nyote mseme kwa upatano, na kwamba kusiwe na migawanyiko kati yenu,+ bali kwamba muunganishwe kabisa katika akili ileile na njia ileile ya kufikiri.+
10 Sasa nawahimiza+ ninyi, akina ndugu, kupitia jina+ la Bwana wetu Yesu Kristo kwamba nyote mseme kwa upatano,+ na kwamba kusiwe na migawanyiko+ katikati yenu, bali kwamba muunganishwe vema katika akili ileile na katika njia ileile ya kufikiri.+