8 Je, tayari mmetosheka? Je, tayari ninyi ni matajiri? Je, mmeanza kutawala mkiwa wafalme+ bila sisi? Ninatamani sana kwamba muwe mmeanza kutawala mkiwa wafalme, ili sisi pia tutawale pamoja nanyi tukiwa wafalme.+
8 Ninyi tayari mmepata shibe yenu, sivyo? Ninyi tayari ni matajiri, sivyo?+ Mmeanza kutawala mkiwa wafalme+ bila sisi, sivyo? Nami ningalipenda kwamba muwe mmeanza kutawala mkiwa wafalme, ili sisi pia tutawale pamoja nanyi tukiwa wafalme.+