17 Ndiyo sababu ninamtuma Timotheo kwenu, kwa kuwa yeye ni mtoto wangu mpendwa na mwaminifu katika Bwana. Atawakumbusha njia* zangu kuhusiana na Kristo Yesu,+ kama vile ninavyofundisha kila mahali katika kila kutaniko.
17 Ndiyo sababu ninamtuma Timotheo kwenu,+ kwa kuwa yeye ni mtoto wangu mpendwa+ na mwaminifu katika Bwana; naye atawakumbusha ninyi njia zangu kuhusiana na Kristo Yesu,+ kama vile ninavyofundisha kila mahali katika kila kutaniko.