18 Ukimbieni uasherati!*+ Dhambi nyingine yoyote ambayo huenda mtu akafanya iko nje ya mwili wake, lakini yeyote aliye na mazoea ya kufanya uasherati anautendea dhambi mwili wake mwenyewe.+
18 Ukimbieni uasherati.+ Kila dhambi nyingine ambayo mtu huenda akafanya iko nje ya mwili wake, lakini yeye aliye na mazoea ya kufanya uasherati anautendea dhambi mwili+ wake mwenyewe.