5 Msiwe mkinyimana ila kwa makubaliano kwa wakati uliowekwa, ili mtenge wakati kwa ajili ya sala na mje pamoja tena, ili Shetani asiendelee kuwajaribu kwa sababu mnakosa kujizuia.*
5 Msiwe mkinyimana haki hiyo,+ ila kwa makubaliano kwa wakati uliowekwa,+ ili mtenge wakati kwa ajili ya sala na mje pamoja tena, ili Shetani asiendelee kuwajaribu+ kwa sababu ya ninyi kukosa kujizuia.+