18 Basi, thawabu yangu ni nini? Kwamba ninapotangaza habari njema, niitoe habari njema bila gharama, ili nisitumie vibaya mamlaka* yangu katika habari njema.
18 Basi, thawabu yangu ni nini? Kwamba ninapotangaza habari njema niitoe habari njema bila gharama,+ kusudi nisitumie vibaya mamlaka yangu katika habari njema.