6 Basi tukikabili majaribu,* ni kwa ajili ya faraja na wokovu wenu; na tukifarijiwa, ni kwa ajili ya faraja yenu inayotenda ili kuwasaidia mvumilie mateso yaleyale ambayo sisi pia tunateseka.
6 Basi kama tumo katika dhiki, hiyo ni kwa ajili ya faraja na wokovu+ wenu; au kama tunafarijiwa, hiyo ni kwa ajili ya faraja yenu inayotenda ili kuwafanya mvumilie mateso yaleyale ambayo sisi pia tunateseka.+