8 Kwa maana hatutaki mkose kujua, akina ndugu, kuhusu dhiki tuliyopata katika mkoa wa Asia.+ Tulikuwa na mkazo mkubwa sana unaozidi nguvu zetu wenyewe, hivi kwamba hatukuwa na uhakika hata kuhusu uhai wetu.+
8 Kwa maana sisi hatutaki ninyi mkose kujua, akina ndugu, juu ya dhiki iliyotupata katika wilaya ya Asia,+ kwamba tulikuwa chini ya mkazo mkubwa mno unaoshinda nguvu zetu, hivi kwamba hatukuwa na uhakika kabisa hata juu ya uhai wetu.+