14 Lakini shukrani kwa Mungu, ambaye sikuzote hutuongoza katika maandamano ya ushindi kwa kushirikiana na Kristo, na kupitia sisi huieneza* harufu nzuri ya ujuzi kumhusu kila mahali!
14 Lakini Mungu apewe shukrani, ambaye sikuzote hutuongoza+ katika maandamano yenye shangwe ya ushindi kwa kushirikiana+ na Kristo naye huifanya harufu ya ujuzi juu yake yeye ifahamike kupitia sisi kila mahali!+