16 kwa hawa wa mwisho ni harufu ya kifo inayoleta kifo,+ kwa wale wa kwanza ni harufu ya uzima inayoleta uzima. Na ni nani anayestahili kabisa mambo haya?
16 kwa hawa wa mwisho ni harufu inayotoka katika kifo mpaka kifo,+ kwa wale wa kwanza ni harufu inayotoka katika uzima mpaka uzima. Na ni nani ambaye ana sifa za kustahili vya kutosha kwa ajili ya mambo haya?+