12 Hatujipendekezi wenyewe tena kwenu, bali tunawapa kichocheo cha kujisifu kuhusiana nasi, ili muweze kujibu wale wanaojisifu kuhusu sura ya nje+ bali si kuhusu yaliyo moyoni.
12 Hatujipendekezi+ wenyewe tena kwenu, bali tunawapa ninyi kichocheo cha kujisifu kuhusiana na sisi,+ ili mpate kuwa na jibu la kuwapa wale ambao hujisifu juu ya sura ya nje+ lakini si juu ya moyo.+