20 Kwa hiyo sisi ni mabalozi+ walio badala ya Kristo,+ kana kwamba Mungu alikuwa akisihi kupitia sisi. Kama walio badala ya Kristo, tunaomba: “Mpatanishwe na Mungu.”
20 Kwa hiyo sisi+ ni mabalozi+ walio badala ya Kristo,+ kana kwamba Mungu alikuwa akisihi kupitia sisi.+ Kama walio badala ya Kristo tunaomba:+ “Mpatanishwe pamoja na Mungu.”