8 Isitoshe, Mungu anaweza kufanya fadhili zake zote zisizostahiliwa ziwe nyingi kuwaelekea, ili sikuzote muwe na vitu vya kuwatosheleza kabisa katika kila jambo, na pia muwe na vingi kwa ajili ya kila kazi njema.+
8 Zaidi ya hayo, Mungu anaweza kufanya fadhili zake zote zisizostahiliwa ziwe nyingi kuwaelekea ninyi, ili, ijapokuwa sikuzote mna ujitoshelevu kamili katika kila kitu, muwe na vingi kwa ajili ya kila kazi njema.+