13 Kupitia uthibitisho wa huduma hii ya kutoa msaada, wanamtukuza Mungu kwa sababu mnajitiisha kwenye habari njema kumhusu Kristo, kama mlivyotangaza hadharani, na kwa sababu ninyi ni wakarimu katika mchango wenu kwao na kwa wote.+
13 Kupitia uthibitisho ambao huduma hii hutoa, wao wanamtukuza Mungu kwa sababu mnajitiisha kwenye habari njema juu ya Kristo,+ mnapotangaza waziwazi kuwa mko hivyo, na kwa sababu ninyi ni wakarimu katika mchango wenu kwao na kwa wote;+