8 Kwa hiyo, andiko likitangulia kuona kwamba Mungu atawatangaza watu wa mataifa kuwa waadilifu kupitia imani, lilitangaza habari njema mwanzoni kwa Abrahamu, yaani: “Kupitia kwako mataifa yote yatabarikiwa.”+
8 Sasa Andiko, likitangulia kuona kwamba Mungu atawatangaza watu wa mataifa kuwa waadilifu kutokana na imani, lilitangaza habari njema kimbele kwa Abrahamu, yaani: “Kupitia kwako mataifa yote yatabarikiwa.”+