-
Wagalatia 3:15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Akina ndugu, ninazungumza kwa kutumia mfano wa mwanadamu: Agano linapohalalishwa, hata kama ni kupitia mwanadamu, hakuna mtu anayelifuta au kuliongezea jambo lolote.
-