9 nami nipatikane katika muungano naye, si kwa sababu ya uadilifu wangu mwenyewe, kwa kufuata Sheria, bali kwa sababu ya uadilifu kupitia imani+ katika Kristo,+ uadilifu unaotoka kwa Mungu na unaotegemea imani.+
9 na nipatikane katika muungano naye, nikiwa, si na uadilifu wangu mwenyewe, ambao hutokana na sheria,+ bali ule ambao ni kupitia imani+ katika Kristo, uadilifu unaotoka kwa Mungu kwa msingi wa imani,+