20 na kupitia yeye apatanishe kwake mwenyewe vitu vingine vyote+ kwa kufanya amani kupitia damu+ aliyomwaga juu ya mti wa mateso,* iwe ni vitu vilivyo duniani au vitu vilivyo mbinguni.
20 na kupitia yeye apatanishe+ tena kwake mwenyewe vitu vingine vyote+ kwa kufanya amani+ kupitia damu+ aliyomwaga juu ya mti wa mateso,+ hata kama ni vitu vilivyo duniani au vitu vilivyo mbinguni.