12 Kwa maana mlizikwa pamoja naye katika ubatizo wake,+ na kwa uhusiano wenu pamoja naye mlifufuliwa+ pia pamoja kupitia imani yenu katika matendo yenye nguvu ya Mungu, aliyemfufua Kristo kutoka kwa wafu.+
12 kwa maana mlizikwa pamoja naye katika ubatizo wake,+ na kwa uhusiano pamoja naye mlifufuliwa+ pia pamoja kupitia imani+ yenu katika utendaji+ wa Mungu, aliyemfufua huyo kutoka kwa wafu.+