16 Neno la Kristo na likae ndani yenu kwa wingi katika hekima yote. Endeleeni kufundishana na kutiana moyo* kwa zaburi,+ sifa kwa Mungu, nyimbo za kiroho zinazoimbwa kwa shukrani,* mkimwimbia Yehova* mioyoni mwenu.+
16 Neno la Kristo na likae ndani yenu kwa wingi katika hekima yote.+ Endeleeni kufundishana+ na kuonyana kwa zaburi,+ sifa kwa Mungu, nyimbo za kiroho+ kwa neema, mkimwimbia Yehova+ mioyoni mwenu.