5 Ndiyo sababu, niliposhindwa kuvumilia hilo, nilimtuma mtu ili nijue kuhusu uaminifu wenu,+ isiwe kwamba Mjaribu+ alikuwa amewajaribu, na kazi yetu ngumu ikawa ya bure.
5 Hiyo ndiyo sababu, kwa kweli, wakati sikuweza kuvumilia hilo tena, nilimtuma mtu ili nijue juu ya uaminifu wenu,+ kama labda kwa njia fulani yule Mjaribu+ alikuwa amewajaribu ninyi, na kazi yetu ya jasho ikawa ya bure.+