13 Zaidi ya hayo, akina ndugu, tunataka mwelewe* kuhusu wale wanaolala usingizi katika kifo,+ ili msihuzunike kama wanavyofanya watu wasio na tumaini.+
13 Zaidi ya hayo, akina ndugu, hatutaki mkose kujua kuhusu wale walalao usingizi+ katika kifo; ili msiwe na huzuni kama wale watu wengine wasio na tumaini.+