2 kutia ndani wafalme na wote wenye vyeo vya juu,*+ ili tuendelee kuishi kwa amani na utulivu na ujitoaji-kimungu* kamili na kuchukua mambo kwa uzito.+
2 kwa ajili ya wafalme+ na wale wote walio katika cheo cha juu;+ ili tuendelee kuishi maisha shwari na matulivu pamoja na ujitoaji-kimungu kamili na kuchukua mambo kwa uzito.+