7 Lakini kataa hadithi za uwongo zisizo na heshima,+ kama zile zinazosimuliwa na wanawake wazee. Badala yake, endelea kujizoeza ukiwa na lengo la ujitoaji-kimungu.*
7 Lakini kataa hadithi za uwongo+ ambazo huchafua mambo matakatifu na ambazo wanawake wazee husimulia. Kwa upande mwingine, uwe ukijizoeza ujitoaji-kimungu ukiwa ni shabaha yako.+