16 yeye peke yake asiyeweza kufa,+ anayeishi katika nuru isiyoweza kufikiwa+ na ambaye hakuna mwanadamu amemwona wala anayeweza kumwona.+ Kwake na kuwe na heshima na nguvu milele. Amina.
16 yeye peke yake asiyeweza kufa,+ anayekaa katika nuru isiyoweza kufikiwa,+ ambaye hakuna hata mmoja kati ya wanadamu amemwona au anaweza kumwona.+ Kwake yeye na kuwe heshima+ na nguvu milele. Amina.