8 Basi usione aibu kuhusu ushahidi juu ya Bwana wetu,+ au kunihusu mimi, mfungwa kwa ajili yake, bali shiriki katika kuvumilia dhiki+ kwa ajili ya habari njema kwa kutegemea nguvu za Mungu.+
8 Kwa hiyo usione aibu juu ya ule ushahidi kumhusu Bwana wetu,+ wala kunihusu mimi mfungwa kwa ajili yake,+ bali shiriki sehemu yako katika kuvumilia+ uovu kwa ajili ya habari njema kulingana na nguvu za Mungu.+