16 Wao hutangaza hadharani kwamba wanamjua Mungu, lakini wanamkana kwa matendo yao,+ kwa sababu ni wenye kuchukiza, wasiotii, na wasiostahili kufanya kazi yoyote njema.
16 Wao hutangaza hadharani kwamba wanamjua Mungu,+ lakini humkana kwa matendo yao,+ kwa sababu ni wenye kuchukiza na wasiotii nao si wenye kukubalika+ kwa ajili ya kazi njema ya namna yoyote.