5 Kwa mfano, Mungu aliwahi kumwambia nani kati ya malaika: “Wewe ni mwanangu; leo nimekuwa baba yako”?+ Na tena: “Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu”?+
5 Kwa mfano, alipata kumwambia nani kati ya malaika: “Wewe ni mwanangu; mimi, leo, nimekuwa baba yako”?+ Na tena: “Mimi mwenyewe nitakuwa baba yake, na yeye mwenyewe atakuwa mwanangu”?+