6 lakini Kristo alikuwa mwaminifu akiwa mwana+ juu ya nyumba ya Mungu. Sisi ni nyumba Yake,+ ikiwa kwa kweli tunashikilia imara uhuru wetu wa kusema na tumaini ambalo tunajisifia mpaka mwisho.
6 lakini Kristo alikuwa mwaminifu akiwa Mwana+ juu ya nyumba yake Huyo. Sisi ni nyumba yake Huyo,+ ikiwa tunashikilia sana uhuru wetu wa kusema na kujisifu kwetu juu ya tumaini, imara mpaka mwisho.+