12 Kwa maana, ingawa kufikia sasa* mnapaswa kuwa walimu, mnahitaji tena mtu awafundishe tangu mwanzo mambo ya msingi+ ya maneno matakatifu ya Mungu, nanyi mnahitaji maziwa tena, bali si chakula kigumu.
12 Kwa maana, kwa kweli, ijapokuwa mnapaswa kuwa walimu+ kwa sababu ya wakati, ninyi mnahitaji tena mtu awafundishe tangu mwanzo mambo ya msingi+ ya maneno matakatifu ya Mungu;+ nanyi mmekuwa kama wanaohitaji maziwa, si chakula kigumu.+