13 Kwa maana mtu ambaye mambo haya yanasemwa kumhusu alitoka katika kabila lingine, na hakuna mtu wa kabila hilo ambaye amewahi kuhudumu kwenye madhabahu.+
13 Kwa maana yule mtu ambaye mambo haya yanasemwa kumhusu amekuwa ni mshiriki wa kabila+ lingine, ambalo kutoka kwake hakuna yeyote ambaye ametumikia rasmi kwenye madhabahu.+