9 Hema hili ni mfano kwa ajili ya wakati huu,+ na kulingana na mpango huu, zawadi na dhabihu zinatolewa.+ Hata hivyo, haziwezi kufanya dhamiri ya mtu anayefanya utumishi mtakatifu iwe kamilifu.+
9 Hema hili ni mfano+ kwa ajili ya wakati uliowekwa ambao upo sasa,+ na kwa kupatana nalo zawadi na dhabihu pia zinatolewa.+ Hata hivyo, hizo haziwezi kumfanya mtu anayetoa utumishi mtakatifu awe mkamilifu+ kuhusiana na dhamiri+ yake,