16 Lakini sasa wanajitahidi kufikia mahali bora zaidi, yaani, panapohusiana na mbinguni. Kwa hiyo, Mungu haoni aibu kuwahusu, anapoitwa Mungu wao,+ kwa maana ametayarisha jiji kwa ajili yao.+
16 Lakini sasa wanajitahidi kufikia mahali palipo bora, yaani, panapohusiana na mbinguni.+ Kwa hiyo Mungu haoni aibu juu yao, kuitwa akiwa Mungu wao,+ kwa maana ametayarisha jiji+ kwa ajili yao.