15 Bali mtakaseni Kristo kuwa Bwana katika mioyo yenu, sikuzote mkiwa tayari kujitetea mbele ya kila mtu anayewauliza sababu ya tumaini mlilo nalo, lakini mkifanya hivyo kwa upole+ na heshima kubwa.+
15 Bali mtakaseni Kristo kuwa Bwana katika mioyo yenu,+ sikuzote mkiwa tayari kujitetea+ mbele ya kila mtu ambaye hutaka kutoka kwenu sababu ya tumaini lililo ndani yenu, lakini mkifanya hivyo kwa tabia-pole+ na heshima kubwa.