9 Kwa maana yeyote asiye na mambo hayo ni kipofu, na amefunga macho yake yasione nuru,*+ naye amesahau kutakaswa kwake kutoka kwenye dhambi zake+ za zamani za kale.
9 Kwa maana ikiwa mambo hayo hayapo ndani ya yeyote, yeye ni kipofu, akifunga macho yake yasione nuru,+ naye amesahau+ kutakaswa+ kwake kutoka katika dhambi zake za zamani za kale.