4 Hakika Mungu hakujizuia kuwaadhibu malaika waliofanya dhambi,+ bali aliwatupa ndani ya Tartaro,*+ akiwaweka kwenye minyororo* ya giza zito ili wawekwe akiba kwa ajili ya hukumu.+
4 Hakika ikiwa Mungu hakujizuia kuwaadhibu wale malaika+ waliofanya dhambi, bali, kwa kuwatupa ndani ya Tartaro,+ aliwatia ndani ya mashimo yenye giza zito ili wawekwe akiba kwa ajili ya hukumu;+