5 Naye hakujizuia kuuadhibu ulimwengu wa kale,+ bali alimlinda salama Noa, mhubiri wa uadilifu,+ pamoja na wengine saba+ alipoleta gharika juu ya ulimwengu wa watu wasiomwogopa Mungu.+
5 naye hakujizuia kuuadhibu ulimwengu wa kale,+ bali alimlinda Noa, mhubiri wa uadilifu,+ akiwa salama pamoja na wengine saba+ alipoleta gharika+ juu ya ulimwengu wa watu wasiomwogopa Mungu;