14 Macho yao yamejaa uzinzi+ na hawawezi kuachana na dhambi, nao huwashawishi wasio imara.* Moyo wao umezoezwa kuwa na pupa. Wao ni watoto waliolaaniwa.
14 Wana macho yenye kujaa uzinzi+ na yasiyoweza kuachana na dhambi,+ nao huzishawishi nafsi zisizo imara. Wana moyo uliozoezwa kutamani.+ Wao ni watoto waliolaaniwa.+