4 na kusema: “Kuko wapi huko kuwapo kwake kulikoahidiwa?+ Kwani tangu siku mababu zetu walipolala usingizi katika kifo, mambo yote yanaendelea kama yalivyokuwa tangu mwanzo wa uumbaji.”+
4 na kusema:+ “Huku kuwapo kwake kulikoahidiwa kuko wapi?+ Kwani, tangu siku mababu zetu walipolala katika kifo, mambo yote yanaendelea sawasawa kama tangu mwanzo wa uumbaji.”+