14 Ninawaandikia ninyi akina baba, kwa sababu mmemjua yule aliye wa tangu mwanzo. Ninawaandikia ninyi vijana, kwa sababu mna nguvu+ na neno la Mungu hukaa ndani yenu+ nanyi mmemshinda yule mwovu.+
14 Ninawaandikia ninyi, akina baba,+ kwa sababu mmemjua yeye aliye wa tangu mwanzo.+ Ninawaandikia ninyi, vijana, kwa sababu ninyi ni wenye nguvu+ na neno la Mungu hukaa ndani yenu+ nanyi mmemshinda yule mwovu.+