6 Huyu ndiye aliyekuja kupitia maji na damu, Yesu Kristo, si kwa maji tu,+ bali kwa maji na kwa damu.+ Na roho inatoa ushahidi,+ kwa sababu roho ndiyo kweli.
6 Huyu ndiye aliyekuja kwa njia ya maji na damu, Yesu Kristo; si kwa maji+ tu, bali kwa maji na kwa damu.+ Na roho+ ndiyo inayotoa ushahidi, kwa sababu roho ndiyo kweli.