5 “‘Kwa hiyo kumbuka pale ulipokuwa kabla ya kuanguka, nawe utubu+ na kufanya matendo uliyofanya mwanzoni. Usipofanya hivyo, nitakuja kwako, nami nitakiondoa kinara chako cha taa+ kutoka mahali pake, usipotubu.+
5 “ ‘Kwa hiyo kumbuka umeanguka kutoka wapi, nawe utubu+ na kufanya yale matendo ya mwanzoni. Usipofanya hivyo, mimi ninakuja kwako,+ nami nitakiondoa kinara chako cha taa+ kutoka mahali pake, usipotubu.