18 ninakushauri ununue kutoka kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto ili uwe tajiri, na mavazi meupe ili uvae na kwamba aibu ya uchi wako isifunuliwe,+ na dawa ya macho ya kupaka katika macho yako+ ili uweze kuona.+
18 ninakushauri ununue kutoka kwangu dhahabu+ iliyosafishwa kwa moto ili uwe tajiri, na mavazi meupe ya nje ili uvikwe na kwamba aibu ya uchi wako isifunuliwe,+ na dawa ya macho ya kupaka katika macho+ yako ili upate kuona.