11 Jina la nyota hiyo ni Pakanga. Na theluthi moja ya maji ikageuka kuwa pakanga, na wanadamu wengi wakafa kutokana na maji hayo, kwa sababu yaligeuka kuwa machungu.+
11 Na jina la nyota hiyo ni Pakanga. Na sehemu ya tatu ya maji ikageuka kuwa pakanga, na wengi kati ya wanadamu wakafa kutokana na maji hayo, kwa sababu yalikuwa yamefanywa kuwa machungu.+